Sunday, March 6, 2016

TANZIA

MZEE ABEL SHENKALWA MGONDA. 1928-2016

Ukoo wa Mgonda kwa mshituko mkubwa tunapenda kutoa taarifa ya Kifo cha Baba yetu Mzee Abel shenkalwa Mgonda. Kilichotokea tar 28 Februari 2016 Usiku katika Kituo cha Afya Mlalo na kuzikwa tar 29 Februari 2016.Nyumbani kwake Ngwelo Mission.
Mzee abel amezaliwa mwaka 1928 huko Mtae Kweviama.Yeye ni Mtoto wa tano wa Babu yetu Shekiboko.
Bwana ametoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.

TUKIO LA MAZISHI LITAWAJIA.............

No comments:

Post a Comment