Thursday, July 12, 2012

SEND OFF & WEDDING ELIZABETH

SEND OFF TAR 29.JUNE 2012 UKUMBI POLISI MESS TANGA

Mungu ni mwema sana katika maisha yetu kila siku.Mpendwa mdogo wetu Elizabeth ametimza sehemu ya majukumu yake kama mtoto wa kike katika familia yetu kwa kutuletea Shemeji.ambapo tar 29.06.2012 tukiwa wote kama familia alituonyesha mpendwa wake na baba (Mjomba) Shewali alimkabidhi rasmi kwa familia ya Kagongo wa Kigoma. Jua huanza kutokea Tanga na machweo Kigoma mwisho wa Reli.
Bwana apewe sifa.
 
ELIZABETH AKIWA NA MAPAMBE WAKE

 
ELIZABETH AKIWA NA MCHUMBA WAKE AKIMUONYESHA KWA FAMILIA NA NDUGU NA JAMAA

SHEREHE KWA UJUMLA TANGU NYUMBANI KIBOI 
 
 
 
 
 
 
 

 
 
 
 
 
 
 
Kaka Mch. Mtahafu Kasinda Akiombea shughuli na salam zake kwa waalikwa.


MAMBO YA MISOSI NA KIHENDO
 
 
 
 
 
 
 
Tunaendelea........................................!!!!!!!!!!!

Wednesday, July 11, 2012

KWETU MAGAMBA-KIJIJINI

Hapa Magamba ni Pazuri kuishi vitu vingi vinapatikana  viazi ,mboga zote Ila baridi tu ndio kitu kigumu hapa na vilima vya hapa na pale.Nikiwa hapa Magamba kama mtumishi Nimejaliwa na Mungu kupata plot na kujenga nyumba mbili zenye room 10 kwa Ujumla.Wapendwa wanafunzi wanaishi hapo.

KARIBU KWETU MAGAMBA
 
 
 
Nyumba ya chini yenye milango mitatu ni ya jirani tunayepakana naye.
nyumba yetu ni hizo zenye rangi  na mabomba marefu nje.

TATE LOTH NKANILEKA NA WENGINE

Nafurahi tena kumuona tate Loth kwa upande wa pili wa shilingi.Baba yetu.Barikiwa sana.
Bw. Loth Nkanileka Mgonda
 
 Bw. Godbless Loth Mgonda
 
 
 
 
 Mrs T.Mgonda na watoto wake wakifurahia zawadi zao  x.mass 2010
 
 Loveness na Alice Mgonda Nyumbani kwtu Kiboi Tanga
 Kwetu Pazuri - Kiteghe na miwa Kibao Jiwe kubwa
 
Mr Thomas Mgonda (Joseph)

Tuesday, July 10, 2012

SHEREHE YA KUAGANA MAGAMBA HOUSE

MWAKA 2011
Katika nyumba yetu ya magamba wakazi wetu wanne wamehitimu Degree ya kwanza na kuagwa na wenzao. Sherehe ilifana na ya mfano katika mtaa wetu wa Coast.
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
WAAGWA KATIKA PICHA YA PAMOJA
Wakazi wa Magamba House wafurahia siku yao



 
 
 
Bw.Thomas Mgonda akitoa Zawadi kwa wanaoagwa


 
 

 
 
jirani wa karibu katika Furaha yao.Mtaani kwetu