Tuesday, July 10, 2012

SHEREHE YA KUAGANA MAGAMBA HOUSE

MWAKA 2011
Katika nyumba yetu ya magamba wakazi wetu wanne wamehitimu Degree ya kwanza na kuagwa na wenzao. Sherehe ilifana na ya mfano katika mtaa wetu wa Coast.
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
WAAGWA KATIKA PICHA YA PAMOJA
Wakazi wa Magamba House wafurahia siku yao



 
 
 
Bw.Thomas Mgonda akitoa Zawadi kwa wanaoagwa


 
 

 
 
jirani wa karibu katika Furaha yao.Mtaani kwetu


No comments:

Post a Comment